wavunja mbavu maarufu Bi. Chau na 'mumewe' Mzee Saidi Small wa Ngamba wakifanya vitu vyao katika banda la Bakhressa Group of companies katika maonesho ya sabasaba katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa road jijini Dar. Wavunja mbavu hawa wako katika gemu muda mrefu na hawaoneshi kutaka kuchoka karibuni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2010

    mzee small hazeeki ama kweli hebu twambie anakula nini? ni mboga tu au kuna mazoezi ya aina gani manake mi niko najiona mzee kushinda mzee small.

    hawa ndio watu tunaopenda kuwaona, kipaji cha kweli, sio nyie mkilipwa kidogo basi kunyanyasa wenzie tu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 02, 2010

    nawafagilia sanaaaaaaaaa. sio hawa wachekeshaji wa saa hizi mpaka ujikamue utumbo ndio ucheke. hawa na wakina king majuto loooooool wananiachaga hoiiiiiiiiiii

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 02, 2010

    kiwanja cha mwalimu nyerere,barabara ya mwalimu nyerere,uwanja wa ndege wa mwalimu nyerere nini tena tumebakisha?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 02, 2010

    Hawa ni wasanii wa ukweli, fanya mambo mzee small, hongera

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 02, 2010

    Chuo Mwalimu Nyerere.

    ReplyDelete
  6. Mdau, BloomsburyJuly 02, 2010

    Anonymous wa tatu hapo 7.30 am, umesema kweli!! Yaani serikali imezidi. Hata shule zingine tumesoma tukiwa wadogo sasa hivi eti zinaitwa Mwl Nyerere Shule ya ____________. Yaani unashindwa hata kuendeleza uhusiano na hiyo shule.

    Kumuenzi huyo baba ni kwa vitendo, si kuharibu kila kitu kwa kuvipa jina lake.

    Bado tu wananchi wote tuambiwe tutumie jina la ukoo la NYERERE, au nchi iitwe the Republic of NYERERE!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 02, 2010

    tumebakisha watanzania wote kutumia nyerere kama sir name

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 02, 2010

    Banda la Mwl. Nyerere

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 02, 2010

    Benki ya Mwalimu Nyerere

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 02, 2010

    Mwl. Nyerere Tower

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 02, 2010

    Nyerere Government
    Nyerer Party
    Nyerere Telecommunication
    Nyerere Hospital
    Nyerere Blog
    NYERERE!!!!!!!!!!

    Those who are taking this name for granted please give respect. Maana kama kungekuwa na uwezo wa yeye kurudi na kukataza kutumika kwa jina lake hivyo nafikiri ingesaidia. NYERERE NYERERE.... HE IS GONE...LET US CONTINUE WITH OUR LIFE.

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 02, 2010

    Nakubaliana na mdau mwa mwisho.Tanzania Tubadilike.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 02, 2010

    Baba Nyerere Hospital mwe...! mbona haiji...!! hebu tuirekebishe kidogo.

    Hon. Nyerere World Cup...! Hata hii imekataa...!!!

    Mlimani City Nyerere Baba...... Hii nayo.....! Haya wee!!

    Mwisho : Tuntufye Mwakabibi Nyerere
    : Manka Mushi Nyerere
    :Olais Lowaasa Nyerere
    Duh.... na wewe malizia hayo mengine kuwa mbunifu sio kuiga ya wenzio tu...!! @Kimaro Nyerere

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 02, 2010

    ridhiwan nyerere

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...