KARIBUNI NL INTERNET CAFE UJIPATIE HUDUMA SAFI YA INTERNET YENYE KASI ZAIDI (2Mbps) KUPANDISHA NA KUSHUSHA.
TUKO TABATA CCM KARIBU NA SHELI YA OILCOM,

MANDHARI SAFI NA TULIVU KWA KAZI ZAKO ZA MTANDAONI
PIA TUNATENGENEZA CV ZA KISASA ZAIDI.

"Nl tuko kwa ajili yako leo na kesho"
--
KARIBU NL NETCAFE COMPUTER'S KWA

HUDUMA BORA YA INTERNET YENYE KASI ZAIDI

2mbps!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2010

    aisee bongooo,aaaah kuna vitu vinachekesha sana,huu ndio wizi wenyewe au huyu aliyeweka tangazo hajui nini kinaendelea...eti 2Mbps wakati watu wa kawaida nchi fulani fulani wanatumia 10Mbps hii ni speed ya kawaida kabisa,hivi huo mkongo sijui mkonga wa mawasiliano unawasaidia nini?na huyu rafiki yangu eti tunatengeneza cv za kisasa nani kwakwambia kuna cv za kisasa na nani kwakwambia cv zina format?mmmmh shule hizi na kutembea kunasaidia,sikupondi ila next time fanyia uchunguzi mambo kabla ya kusema,huenda kwa tanzania 2Mbps ndio speed kubwa ila hilo la cv mmmmmh wizi mtupu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 02, 2010

    Kwa kuwa tuna cable sasa kwa nini hamuwezi kuwa na internet yenye uwezo wa 100 mbps (Japan, S.Korea, Singapore) au hata 50 mbps (Canada, USA). Inachukua muda sana kuangalia picha na 2 mbps. ISP raha.com walikuwa wanatangaza 5 mbps...mbona tunarudi nyuma?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 02, 2010

    Ankal, naomba nimsahihishe mdau aliyetuma ujumbe huu, ni kumwelewesha tu kuwa sheli(shell) ni kampuni ya kuuza mafuta kama oilcom, ijapokua shell ni zaidi ya oilcom. neno sahihi la kutumia badala ya sheli ni "kituo cha mafuta cha OilCom"
    asante ankal

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 02, 2010

    Nyie watu mpunguze ubuda. Yeye amezungumzia uwezo wa internet cafe yake yeye, na kama anafagilia 2 mbps, analinganisha na internet cafe zilizopo za Tanania. Wewe kama una uwezo wa kuanzisha internet cafe ya kutumia 100 mbps, go right ahead; au kama unaona speed yake ni too slow, nenda kwenye faster internet cafe. Hata Marekani hapa bado kuna dial up, lakini hamna mtu anayekulazimisha kutumia. Hilo tangazo ni kwa watu walio Tanzania, kama huitaji hiyo huduma, kaa chonjo!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 02, 2010

    anoy wa Fri Jul 02, 05:28:00 PM
    hehehe ni mwenyewe kajibu mashambulizi , tunakupa ushauri tu ndogo usikasirike , humu tunakosoana na kufahamishana na hamna zaidi

    gud day

    mdau kkoo

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 03, 2010

    Acheni kujifanya mnajua saaaan...CV za kisasa anaelezea anachojua unataka kuziona nenda kaangalie huko kwenye net cafe yake

    Highest internet Check hii according to the 2010 data..

    1. South Korea : 14.6 Mbps
    2. Japan : 7.9 Mbps
    3. Hong Kong : 7.6 Mbps
    4. Romania : 6.2 Mbps
    5. Sweden : 5.7 Mbps
    6. Ireland : 5.3 Mbps
    7. Netherlands : 5.2 Mbps
    8. Switzerland : 5.0 Mbps
    9. Denmark : 4.8 Mbps
    10. Czech Republic : 4.8 Mbps
    .
    .
    .
    . US 3.9Mbps average except kuna miji kama mitatu hivi average speed: 18.7Mbps hii ni Berkely, CA etc etc

    Sasa yeye akiwa broadband ya average speed ya 2Mgps sioni ni ndogo sana kama mnavyoikandia

    Get the facts right sio kuyup yup tu hapa mkiona mtu anajitahidi kwa ujasirimali kidogo mnaona wivu kweli ....why???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...