Home
Unlabelled
dar panaenda panabadilika
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mshamba wa Dar,eti dar panaenda panabadilika,pako hivyo hivyo tena ndio kuna zidi kuwa kubaya vumbi,msongamano,ajali,maji machafu,nk tena inaonekana akili yako inawaza city center tu vp kuhusu manzaese,tandale,vingunguti,mbagala na kwingine kwingi ambako watu hawana maji bado wanatumia vyoo vya shimo,shule hazina madawati,mashimo barabarani,tena aibu mwandishi kama wewe unatoa kijipicha eti dar banabadilika ovyoooooooo
ReplyDeletesafi sana inapendeza
ReplyDeleteDamn it , just like NEW YORK, lets keep the Atmosphere plus USTAARABU, yah, that is the thang.
ReplyDeleteGood job bro-Michuzi
we uliyetoa maoni wa kwanza una chuki binafsi sasa hapo unaona hapajapendeza kalale mbele huko huna lolote
ReplyDeletehttp://www.youtube.com/watch?v=ZYlZVS2uTak&feature=related
ReplyDeletewananchi wa ukonga hatuna maji nyie mnachezea!
ReplyDeleteNchi inaziba makucha yake wanaweka Mjini tu sababu wafanya biashara wa nchi za nje wanaishia Hotel hapo mjini na maofisini basi Ndomana hata sehemu lami haiharibi ni Oysterbay kwenda Masaki MWisho Msasani Mwisho kule zaidi ya hapo ola. Tengenezeni mji inavyotakiwa. James.
ReplyDeleteMdau wa Washington sema umefulia unaogopa utarudije anyway kwa taarifa yako tu siku hizi tunajua kama mtu harudi bongo yupo Mbele tunajua kalost, Kama unadeal nyingi mbona umepata muda wa kuchangia. Beba box mazeiya Sugu mbeba mabox karudi kugombea ubunge
ReplyDeleteWe mtoa maoni hapo juu, kweli huna maana kabisa, hapo chuki binafsi tu....tunaongelea hii picha na ni dar....wewe vp wewe ?
ReplyDelete