


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kuna uwalakini inapokuja kwenye suala la Muungano. Nadhani nafasi ya Raisi wa Zanzibar INGEFUTWA badala yake awepo Makamu wa Raisi tu. Nadhani Katiba inasema Raisi akitoka Bara makamu anatatoka Zanzibar na kama Raisi anatoka Zanzibar Makamu anatoka Bara. Simple na Muungano unakuwa umeshakamilika. Halafu suala la Waziri Kiongozi na Waziri Mkuu wanaweza kuendelea kama system ilivyo sasahivi. Hii ndo ingekuwa ngwe nyingine katika kukamilisha na kuimarisha Muungano wetu
ReplyDeleteBilali kauchinja. Sheni karudi chini. Karume kwaheri.
ReplyDelete99% inaonyesha wanaompigia jungu JK ni wachache mno.
Yani bwana CCM kweli kimekaa kibiashara zaidi yani kweli huyo mzee bilal sasa mnampa cheo hicho ili asaidie nini mtu kachoka namna hio......aaah bwana mi nafkiri kila mtanzania aangalie tu upande wake na jinsi atakavo weza kula kwenye kazi yake lakini kama mtu anafikiria wanasiasa watamsaidia kwisha habari yake!!!!1
ReplyDeletehaaaa wanaogopa kuwapa wanawake na hata hivyo bado kasumba iko bungeni wanatuwekea yale yale ya zamani wazee wamechoka hey wapeni watoto wenye afya zao na ubongo mchanga sio kutuwekea vibabu vilivyo choka hao ccm ndio wanao tuchelewesha tanzania kimaisha ndio maana watanzania kila tunapo kwenda twaonekana washamba amkeni jamani tujenge nchi yetu bila ya vizee vinavyosinzia bugeni.
ReplyDeleteJamani uuuuuuuuwiiiiieeeeeeeeeeee nimechoka na Tanzania nahamia baharini kama Octopus Paul.
ReplyDeletePamoja na yote, Kikwete na mkewe ni match made in heaven, lovely couple! Beautiful first lady! love her smile.
ReplyDelete