JK katika picha ya pamoja ya Manaibu Katibu Mkuu wa wizara mbalimbali baada ya kuwaapisha leo Ikuku jijini Dar. Picha na Mwanakombo Jumaa wa MAELEZO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 29, 2010

    Mpumbavu maana mjinga huwa anaelimika. Nani kamwambia ukubwa wa serikali ni maendeleo. Halafu misupi usiweke comment km kawaida yako

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 29, 2010

    Hongera sana Bosi Mwihava. Nakutakia mafanikio na kazi njema. You desserve it Sir.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 29, 2010

    Wanawakeee Wanawakeee!

    kwa Mtazamo wa picha hiyo, ni kama asilimia ishirini (20%) ya idadi ya akina mama katika jumla ya makatibu wa wizara, yaani 2 out of 9.

    -Nahisi Idadi ya akina mama TZ ni kubwa kuliko wanaume.
    -Na inaaminika ukimwendeleza mwanamke unaendeleza jamii yote.

    Juhudi zifanyike akina mama wapewe kipaumbele, angalau kutoa motisha kwa vitendo pia.

    Michuzi kama kawa najua utabania hii comment, Pls freedom of speech kwa faida ya taifa

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 29, 2010

    Hongera sana Hussein Katanga you deserve it my boss. You always pursue your vision of excellence in whatever you do, keep it up. we are going to miss you.
    Tunakutakia kila la kheri katika majukumu yako mapya. TT

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 29, 2010

    Hongera sana kaka yangu mpendwa Amb. Herbert Mrango. Mungu azidi kukubariki na kukuongoza nakutakia kazi njema na mafanikio mema. We are always proud of you and love you forever.
    Susan Mrango

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 29, 2010

    Blaza Blaza!

    Blaza alie nyuma ya Sista mwenye sketi ndefu hadi chini!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 29, 2010

    Blaza blaza kafanya nini? Handsome?

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 29, 2010

    Thu Jul 29, 03:25:00 PM tunaangalia utendaji wa kazi na si jinsia acha mawazo ya kibinafsi, JK alishajipendekeza kuwapa wanawake wizara nyeti ktk baraza lake la kwanza na akashukuru baraza lilipo vunjwa na kufanya maamuzi yakinifu. kazi mbele..

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 29, 2010

    Hongereni sana Balozi H. Mrango. bwana amekuweka juu na utaendelea kuwa juu.

    Karibu sana Balozi wetu mpendwa R. Gamaha.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 29, 2010

    Jamani, hatutaki mambo ya sijui wanawake, itakwenda hivyo hiyvo halafu kabila fulani, dini fulani, n.k. mtu anapewa kazi kutokana na sifa zake. Sisi siyo Rwanda. Akina mama wanatunza familia, mbona wanaume hawalilii kukaa nyumbani?

    Ila jamani tuacheni utani, kama mwonekano una ujumbe, basi hii timu ina shughuli. Sioni tumaini.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 29, 2010

    Hongera sana kaka wa TAFIRI KWA KUWA KATIKA NAFASI YA KUIKOA TAFIRI Lakini hawa wanafunzi waosoma PHD na akati huo ni WAJAZAZITOKAMA KITUO CHA FAFIEI MWANZA UHAKIKISHE WANA FUATA MIKATABA YAO Kufanya field na kuwa na ujauzito je watoto wa weakulima wanaotaka nafasi hizo watafika CHUNGUZA MJOMBA UTABAINI

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 30, 2010

    Kwani naibu katibu kazi yake nini hasa? Naona Tanzania tuna matumizi yanazidi mapato. Cut down spending Mr President huko wizarani hamna kazi kiivyo.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 30, 2010

    mtoa mada wa thurdsday july 29, 10:29:00 pm kuhusu tafiri, mbona unaingilia mambo ya watu binafsi, mtu kuwa mjamzito na kuendelea na masomo tatizo kwako ni nini? Phd siyo kama masomo ya sekondari, waweza endelea na masomo na wakati huo huo unaendelea na mambo yako ya kifamilia/binafsi. jaribu kuchambua mambo yanayokuhusu na yasiyokuhusu mwachie mwenyewe unayemsema ni mjamzito. ni maoni yangu tu hayo

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 30, 2010

    Huyo anayeongelea wajawazito, sasa alitaka mtu akiwa masomoni na akapata ujauzito basi aitoe hiyo mimba au? Mbona ingekuwa kazi? Ujauzito wa mtu na nafasi kutopatikana kunahusiana vipi? Si atafutwe 'temporary replacement' na wewe kama unataka kwenda shule uende?

    Mbona wakima mama maofisini wakipata ujauzito huwa wanaendelea na kujifungua tu? Mfano mzuri pale Mwananyamala Hospital (kwa wasiokujua, wakifika BITEBO Hair Dressing Salon - Mwanayamala KOMAKOMA, waulizie), yes, pale Mwananyamala Hospital, aiseee kuna dada mmoja mjamzito ana-expect triplets nadhani, lakini mwenyewe ah, anapiga tu mzigo kama kawa. Ila kitu kimoja, aache kupanda vibajaji, kwani ni hatarishi kwa maisha yake na ya watoto wake anaowatarajia.

    Utoaji wa mimba ni sawa na uuaji tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...