Katika uchaguzi huo wajumbe wa UWT waliwachagua wawakilishi wa makundi mbalimbali kwa ajili ya VITI MAALUUM, Mwenyekiti wa UWT Mkaoni Dar es salaam Zarina Shamte Madabida alikuwa mshindi wa kwanza. na kufuatiwa na Ritah Mlaki, Mkutano huo ulifunguliwa rasmi na Mlezi wa Chama mkoa wa DSM Abdulrahman Kinana, na kuhudhuriwa na MWenyekiti wa UWT Taifa Sophia Simba.
Home
Unlabelled
uchaguzi viti maalum mkoa wa dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mheshimiwa naomba matokeo ya Sumbawanga!
ReplyDeleteSasa nimeamini kuwa hii ni blog ya CCM. kila siku habari za CCM tu, kwa nini huweki za vyama vingine?
ReplyDeleteShehe Michuzi, siye wote wanaume bwana. Nisaidie contacts za huyo dada anayegawa pepa za kura. Nsaidie shehe.
ReplyDeletemama masaburi kashindwa??? duh hii kali..hongera mama madabida kwa ushindi wa kishindo..hongera ritha mlaki kwa ushindi wa kishindo...
ReplyDeletejamani huyu mama Sophia Simba, anafanana na Rep. Sheila Lee Jackson(D) Texas. I could be wrong
ReplyDeleteWanaopiga kjura hapo wameneemika kweli walal hoi wako wapi?
ReplyDeleteJe Vyama vya upinzani navyo vinapewa nafasi ya wabunge wa kuteuliwa na wabunge maalumu? Je kama wanapewa idadi inakuwa katika uwiano gani? Bwana Michuzi naomba unitafutie jibu tafadhali. Nitashukuru sana.
ReplyDeleteJK alisema wanawake waende majimboni wakagombee na si kusubiri wateuliwe, sasa Ritha Mlaki amecha kwenda Kawe ndo ameingia kwenye viti maalumu UWT au aliyelewa alifahamishe tafadhali.
ReplyDeleteAti Ritha Mlaki kapita kwa kishindo kama mwakilishi wa NGOs??!! Tangu lini Ritha na NGOs! Acheni sinema za Fiction! Khaaaaa!!
ReplyDeleteKunani dodoma? Mbona watu wakipata wanashangilia sana?
ReplyDeleteDuh Mi nliskia atii madam Rita amestaafu yaani ameritirez... sasa hapa hata sielewi... hembu nisaidieni.... kustaafu si ni kuacha kabisa ama waweza tokea kwa pande ingine kwa shuhuli ile ile !!
ReplyDelete