JK akiagana na mwenyeji wake Rais Yoweri Museveni wa Uganda muda mfupi baada ya kumalizika mkutano wa 15 wa Wakuu wan chi za umoja wa Afrika AU uliofanyika huko Speke
JK akizungumza wakati wa mkutano wa 15 wa Wakuu wa nchi za umoja wa Afrika uliofanyika huko Kampala Uganda.
JK katika mazungumzo na Rais Armando Emilio Guebuza wa Msumbiji jijini Kampala.
JK kiwa katika mazungumzo na naibu katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dk. Asha-Rose Migiro(kushoto), pamoja na makamu wa Rais Benki ya Dunia ukanda wa Afrika Dk. Obiageli Ezekwesili jijini kampala Uganda Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...