Mdau Isaac Mwamgogwa na Bi. Isabell Kellner wamemeremeta hivi karibuni katika kanisa la Svenska Kyrka Church la jijini Stockholm, Sweden na baadae ukafuatia mnuso wa kukata na shoka hapo hapo Stockholm.
kwa habari na picha zaidi nenda:
isaackin.blogspot.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 19 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2010

    me simo!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 26, 2010

    oyaaa vp toto la kitasha? amependeza kweli. mpeni email yangu dolaman@gmail.com

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 26, 2010

    Safi sana kaka isaac, achana na mademu wakibongo wazushi watupu. Hapo kaka unakula makaratasi kiwima wima ka huna akili nzuri vile..Big Up My Bodha

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 26, 2010

    PAPERS INNIT?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 26, 2010

    Nina swali kwa wabeba boksi wooote.
    Hivi mbona mlipokuwa bado Bongo mlikuwa mkitamani wasichana wenye figure ndogo, na mkienda huko mnabadilika!!!!??? Au kuna siri? Niambieni wajemeni.


    Nkyabo - Bongo

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 26, 2010

    wabongo bana mi awasifia sana wao wanatafuta usalama wa maisha yao tu. hao mabonge lazima wana mshio la sivyo mhhhhhhhhhhhh

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 26, 2010

    Mwamgogwa hongera sana kwa kujipatia mke mwema.Kyala akutulege nkamu.

    Umependeza sana na nawatakia maisha mema yenye baraka tele.

    Mdau USA

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 26, 2010

    Kaka wa 5:18pm . Ndugu yangu tukifika huku tukitaka wathungu ndio hivyo tunaishia kwa left over! au wale ambao hata wenyewe hawawataki sasa wakina sisi ndio tunaupatia ndi maana hautuoni na wakina britney spears au vipotabo. Si unajua tena saa nyingine Makaratasi inabidi ufumbe macho au ndio hivyo tena hao vipotable dau kubwa kwahiyo masalio ndio yetu.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 26, 2010

    Mdau Nkyabo...Baada ya kufikiria sana swali lako huku nikila Kuku na bia ya Heineken , napenda kukujibu sasa:

    1. Tulivyokua bongo mademu walikuwa hawali vizuri, ndio maana walikuwa wamekonda. Huku wanakula vizuri. Marekani, asilimia 70 ya wananchi ni vibonge. Ulaya labda asilimia 40 au 50. Kwa kifupi, wanakula vizuri. No, No, No, sio kula vila, ila chakula kizuri tu.

    So kwa kifupi, tumeridhika sana na maisha. Pepa zipo, kazi za kumwaga, tunasomeshwa na kulishwa.
    Njaa hamna. Vipi Bongo, bado mnakonda na malaria? Vumbi je? imepungua? Mna barabara ngapi mlizozitengeneza wenyewe? Mwaka huu vile vile tutatuma misaada kama kawaida kwa kuwa hatuoni hali yenu kuwa vizuri karne hii. Sasa acha pombe na kafanye kazi.

    PS.. ukitaka viza ya kuja hapa, tuma email (kissmyass@yahoo.com), nitakusponsa. Vijipasipoti venu vina shida sana. Haya mdau, mie naenda kulala, demu wangu kibonge anataka mavituz ya Kibongo bongo. Usikonde wala nini. Ndio maisha.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 26, 2010

    Hongera kaka its all about love. Huwezi kupenda aliye mbali. Sifa ya kuwa wapenzi ni wawili kuwa na ukaribu, kisha wakajenga hisia baina yao,ikifuatiwa na kuzungumza kuhusu zizungumzavyo nafsi. kinachofuata ni kama muwaonavyo wawili hao.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 26, 2010

    kweli aisee, mbona kila mmbongo huwa ananyanyuka na ngoma nzito na sio vipotabo tena... au ndo style ya mamtoni?

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 26, 2010

    Nkyabo,

    Ebanae, mi' nadhani baridi la huko ndilo linawalazimisha kuchukua wasichana ambao (kwenye blog hii) wanaonekana wana maumbile makubwa.

    Bongo joto. Shuka unatupa pembeni.

    Huko ni baridi, unahitaji blanketi, mito na mwili wenye mafuta karibu! (No pun intended at all!)

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 26, 2010

    MAIWAIFUU WA JAMAA NI MZURI LAKINI MWEEE MIMI NAWAZA SAANA APA JAMAA AKILETA MCHEZOO AWE NA AMBULANCE MAANA..........WEWE MWENYEWE UNAONA

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 26, 2010

    Ugali unadumaza ndo maana mnaona watu ni wakubwa. Mpambe wa Bibi harusi ni mwembamba lakini mbona naye anaonekana ni mkubwa kulinganisha na bwana harusi na mpambe wake.

    ReplyDelete
  15. KAKA YANGU SIKUJUI WALA HUNIJUI KAA NA NDOA YAKO MKEWAKO MZURI WE NDO UNAJUA MI SIONI UNENE UNENE WAKE WAKAWAIDA USISIKILIZE WAKOSAJI WANAOPIGWA NAVUMBI WANAKUONEA WIVU.""KAOE BONGO UNGEOA FAMILIA NZIMA"" MZUNGU HANA WEGAZI(MAJUKUMU) ...... HONGERA SAAANA MPENDEZA.

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 27, 2010

    MDAU KWELI NOMA KAJIFUNGULIA NA BLOG YAKE KABISA!! HILA MWANA HATA WAKICHONGA UMEWAPIGA BAO !WEWE BONGO UNAKWENDA KUCHEKI WANYAMA TU THEN UNA RETURN BACK !! SAFI SANA WALE MA COSTUME WA AIRPORT WANOKO SANA !!BORA SASA

    ReplyDelete
  17. AnonymousJuly 27, 2010

    Nashukuru wadau wa Mon Jul 26, 07:12:00 PM na Mon Jul 26, 07:05:00 PM somo nimelipata. Nafikiri tatizo lililopo ni la kutokujiamini zaidi (lack of confidence), wabongo wengi ni handsome na miili yao si mikubwa sana, ila ni waoga!! Mbona wanigeria wanaweza kuwa na 'freedom of choice', kwa nini tusiwe sisi. Mimi nategemea kuingia US mwakani nataka nifanye mabadiliko.


    Nkyabo - Bongo

    ReplyDelete
  18. waungwana hapo juu,napenda kujibu maswali yenu kama ifuatavyo
    1.sio kila anayeoa demu wa nje ni anafata makaratasi tuu.
    2.mademu vibonge hizo mimi ndio style zangu toka long time wanaonijua watakuelewesha vizuri,ndio maana nimeoa mke bonge vilevile
    3.hao blonde na wembamba mnaoseema wapo na wanapatikana sana lakini angalia je wanataka kuishi na mtu ama kuolewa?jibu ni no,wanataka kula maisha na waaafrika wauza sura huku ni kama utitiri kama ni wanaume weusi huku afrika nzima ipo.kuna waafrika kuanzia toka south afrika mpaka morroco kwahiyo wanawabadilisha wanavyotaka,kumbuka bara lote la afrika sasa wanataka kuishi ulaya,kuna wagambia huku,kuna wanigeria yaani kila taifa la afrika unalolijua wewe wapo huku na wanatafuta hao hao wanawake mnaotaja na hawawapati wanaishia kuchukua vibibi na mashugamami toka afrika.

    mwisho we unayeona rahisi kupata mwanamke unayemtaka huku njoo tu unakaribishwa kisha utupe report kama hujakiri kwamba umeishia kupiga konoozzz na rayz kwa wiingi.

    HABARI NDIO HIYO.

    ReplyDelete
  19. na mdau uliyesema mpaka nimefungua blog,blog ilikuwepo toka mwaka jana unaweza ukahakikisha kwenye archive,na kabla ya hapo ilikuwa inaitwa VITUUZ.NING.COM.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...