Home
Unlabelled
miss vyuo vikuu 2010 kufanyika leo karimjee hall
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
huwezi kupunguza foleni kwa kukagua road license,bima na drivng license mzee.hapo unaahirisha tatizo.serikali wakiwa makini hao watu watalipia hizo issue na watarudi barabarani kama kawaida serikali itapata kodi zaidi na foleni haitapungua,tuletee mbinu za maana sio visolution uchwara
ReplyDeleteHivi hatuna kitu kingine watanzania tunaweza kufanya!!!. Maana kila kukicha miss kitu fulani!! Jamani hata tumeshachoka. Na ninyi mabinti hata hamna kitu kingine ni urembo tuuu!! Hamuoni kuwa mnajidhalilisha wakati mwingine?? Sisi wanaume tunajua mabinti wa kitanzania ni wazuri kwisha, then!!! Hebu tafuteni kitu kingine mbadala badala ya kung'ang'ania kitu kilekile tu kila kukicha!! Haaa. Miss vyuo vikuu, nendeni huko mkasome shule. Achaneni na kupoteza muda!!
ReplyDeleteMdau