Asante sana bwana michuzi kwa kazi nzuri ya kuhabarisha na kuelimisha jamii. Napenda kumsaidia mdau mwenye malalamiko dhidi ya TANESCO kuwa ili malalamiko yake yawe rasmi awasilishe kwenda customer.services@tanesco.co.tz
au afungue
ataona seheme ya customers na anaweza kuweka malalamiko yake
......from mtanzania mwema

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Tatito maoni hayasomwi na hayafanyiwi kazi. Hili ni tatizo kubwa sana kwa mitandao ya serikali na ya umma. wanaweka contacts lakini hawarespond!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 22, 2010

    Hiyo customer service ya TANESCO inatoa ajira kwa watoto wa vigo** na nyumba ndo** ila sio kusaidia wateja. Tutaendelea kutumia jukwa la GLOBU hii kuelezea maovu yenu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 22, 2010

    dawa ni kuruhusu makampuni mengine yauze umeme kuwe na ushindani

    ReplyDelete
  4. BIBI UMEMEJuly 22, 2010

    kabla ya kucomment, ni vizuri ungetuma maoni kwenye hiyo email kisha usipojibiwa ndio ungekuwa in a position kuandika hapa
    uwe na amani

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 22, 2010

    ujumbe umefika au haujafika? kama haujafika au haufiki, basi na nyie (tanesco) mbona website yenu inatosha hakuna haja ya kujipamba kwa michuzi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...