Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Rashid Matumla nakushauri utafute kazi nyingine hii ya kupigana naona umechoka. Kumbuka enzi zako lakini siku hadi siku unazidi kuporomoka sijui hili unaliona au ndiyo hivyo kuganga njaa. Tulikua wapenzi wako enzi hizo lakini tumekatishwa tamaa na matokeo ya hizi siku. Tunaomba upumzike

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 12, 2010

    Ni kweli nakubaliana na mchangia mada hapo juu, huyu jamaa nilimuona siku moja ktk Channel 5 akipigana Birmingham na mzungu moja mchovu lakini Matumla alikula kibano na akasalimu amri round za mwanzo kabisa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...