The Kilimanjaro Band, imepata msiba baada ya mmoja wa wanamuziki wake Keppy Kiombile kufiwa na baba yake mzazi Mzee Tamim Abdallah Kiombile. Mazishi yatakuwa mchana wa Jumamosi, 10 July 2010 hapo Ifakara.
Wapenzi wa Njenje wanaombwa kushiriki katika msiba huu kwa kumwombea marehemu.
Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi
Wapenzi wa Njenje wanaombwa kushiriki katika msiba huu kwa kumwombea marehemu.
Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi
Poleni sana familia ya Kiombile kwa msiba mkubwa.
ReplyDeletePoleni sana,ABUU,KEPI NA YUSUPH, Namkumbuka sana Mzee wakati ule Kilombero akiwa mhasibu alikuwa akinibeba kwenye Baiskeli yake jamani,Poleni sana.
ReplyDeletewilliam(olisa)USA.
Poleni wafiwa. Fan wa njenje kwa miaka 25.
ReplyDelete