yake ambapo leo anajiunga na wadau duniani kote kusherehekea siku ya Mandela day
usiku na wadau katika mgahawa wa MOYO
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hiyo hotel dress code ni hayo makoti? naona kila mmoja analo au yaligawanywa bure.....Huwezi jua ukarimu wa wenzetu mtu asije akafa na baridi shukua coat mwa mwa!!!!
ReplyDeleteAnkal najua hii hutoibania sababu itakupendeza ,ebu tuambie nasikia wewe ni mmoja wa watakaoingia kwenye jumba la Big Brother mwaka huu ? maana yake nimeshtukia hivyo vijackets mlivyovaa. pia Michu acha ukiritimba wa kubania comments ikiwa wewe kama mmoja wa wana habari na wana habari siku zote kauli mbiu yenu freedom speech (uhuru wa kujieleza)ebu wacha wana blog ya jamii kama unavyoiita wawe wakitoa mawazo yao. kama utaibania na hii basi ushindwe na uregee uwe kama bamia .
ReplyDeletemdau UK
we muhidin ina maana kesho uchaguzi wa yanga pale PTA hall sabasaba ground hutashiriki?siku hiyo yanga yako unaifanyiaga wapi wewe kijana?rubi upige kura kuwachagua viongozi wako wewe ebo!
ReplyDeletesijaona kafulana mara hii mana ata kule ukerewe ulikwenda nacho??? sembuse huko
ReplyDeletekaka najua bado upo vikesheni !! hila wadau tunaomba kama unaweza ku post humu lyrics ya nyimbo
ReplyDeleteKidumu & Jay Dee - Nitafanya
thanks
Mbona kila veksheni upo peke yako? maiwaifu wako yuko wapi? au hataki na yeye ale bata kama wewe? au hao wanakualika wanakupa ofa wewe bila kujali maiwaifi wako?
ReplyDeleteHii message tafahali itoe hata kama nimekuudhi.
Hongera kaka michuzi.Mimi niko Ireland.
ReplyDeleteAisee umenishtua kumwona jamaa yangu tuliopotena nae miaka kibao nimemtafuta bila mafanikio.
Ni huyo uliopiga naye picha mkiwa wawili, picha ya pili kabisa hapo juu tafadhali. Nakuomba uniunganishe naye kwa njia yoyote ile kwani nimemtafuta sana naona kama ndoto kumwona hapa. Mpatie email yangu tafadhali:
joo2@hotmail.co.uk
Please nitashukuru mara milioni kwa msaada wako.
mdau unayetaka wimbo wa kidum na jaydee ingia kwenye bongecelebrity kwa chini wameweka zote
ReplyDeletewe Michuzi wewe ?? !!!!!!
ReplyDeleteni baridi kiasi hicho cha kuvaa gulovuz ????
mwe, jamani mimi sikubali kama kuna baridi mpaka uvae hivyo lol
uje huku tuliko ndiyo uone baridi, wacha mchezo bwana !!!!!!!!!!!
Asante kaka
mdau
Toronto, Canada
NaOna Ankali leo ZeFulana haikuweza kumudu kiWinta cha hapo Sauzi , ikabidi Zefulana itulize ball Hotelini ......ahahhaaaa picha safi sana!
ReplyDeleteVEKESHENI! SI UTAAMBIE TU UMETUMWA NA DAILY NEWS UKAPIGE PICHA ZA MANDELA DAY MZEE!!!!!!!!
ReplyDeleteAnkal,
ReplyDeleteMbona huwa huendi na shemeji yetu? Ni mara chache sana kama ulishawahi hata siku moja kwenda naye vakesheni. Je ndiyo mfumo dume? Kwamba hakuna kutembea na maiwaifu wako?
Au unaenda kwenye jumba la big brother huko South ndiyo maana unaonekana ki-big brother vile!!
Katika Msafara wa Mamba, kenge pia huwemo msafarani. Tarehe 18 Julai ni siku ya kuzaliwa Mandela, lakini pia ni siku ya kuzaliwa kwa Blackmannen. Mambo hayo.
ReplyDeleteIliyobaki ni kuwashukuru wote watakaotupongeza katika siku yetu ya kuzaliwa.
Umri wetu unatofautiana kama ilivyo ukubwa wa Mamba na Kenge. Lakini safari yetu ni ile ile poeni. Sisi tofauti hiyo haitupi shida.
It's Great To Be Black=Blackmannen
na mimi nakuja kuoshwa mikono duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,mume wa mtu asieoshwa mikono na mke wake siata ibiwa na wazulu?
ReplyDeleteAsalaam alaykhum wajina kula bata ndio matunda ya kazi yako. Mola akulinde na akupe maisha marefu yenye good time na baraka tele chapa kazi kama kawaida ndio siri ya mafanikio yako.
ReplyDeletewasalaam chef Issa
mdau wa Sat Jul 17, 06:59:00 PM, sawa tushajuwa kama uko canada! ushafurahi?
ReplyDeleteYaani wewe umeshafika s afika katika miezi ya june mpaka august? au ndio katika wale ambao hawakuwahi kufika popote zaidi ya walipo sasa? hata hivyo hujasoma somo la jiografia? au hata basi hutizami katika internet ukajua misimu ya s africa kabla ya kuja hapa na criticism ya utumbo mtupu?
Kwa taarifa yako s afrika kwa sasa ni baridi sana hasa wakati wa usiku, pia kuna baadhi ya sehemu hata snow inaanguka.
Hukuangalia world cup? kwa nini unadhani watu walikuwa na makoti? juha kalulu wewe!
tunajua south africa ni baridi lakini huyo mdau hajamaanisha kama hakuna baridi ila anamaanisha ni baridi mtoto nadhani na wewe ujafika canada ukajua ni baridi ya aina gani iliyoko huko elewe ni north pole huko its freezing cold sio hiyo baridi ya south africa ni mtoto
ReplyDeletewewe mkulima.. wa Sun Jul 18, 02:33:00 PM
ReplyDeletekwani huyo mdau hapa juu alivyo sema kuna ubaya gani?
hata mimi niliwaza hivyo hivyo, wote tunajua S.Africa huwa kuna baridi lakini sidhani kama ni ya kuvaa glovuzi....
watu wengine bwana jazba nyingiii
muwe mnaelewa utani jamani.!!!!!
huna lolote nenda mbele huko