Balozi Tsere wakati nyimbo za taifa za Malawi na Tanzania zikipigwa na brass band ya jeshi la Malawi akisubiri kukagua gwaride
Balozi Tsere wakati akimkabidhi hati za Utambulisho Rais wa Malawi Mheshimiwa Ngwazi Profesa Bingu wa Mutharika.

Balozi Tsere anamtambulisha mkewe kwa Rais Mutharika
Afisa wa ubalozi wa Tanzania Lilongwe Bwana Wilbard Kayombo akitambulishwa kwa Rais Mutharika
Balozi Tsere wakiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Malawi baada ya kumkabidhi hati za utambulisho
Rais Mutharika akiagana na Balozi Tsere, mkewe na maafisa wa Ubalozi






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Ikulu ya Malawi ipo classic.

    ReplyDelete
  2. kweli hiyo ikulu ni nzuri. utafikiri ni palace.

    ReplyDelete
  3. mkuu Fungameza in za hausi.

    ReplyDelete
  4. UKIONGEA NA RAIS BASI NDO URUHUSIWE KUKAA UME-RELAX LAZIMA UKAE WIMA??? JAMANI??? SI ATAVUNJA MGONGO BALOZI WETU??? MWEEEEEEEE!!

    ReplyDelete
  5. Mama Balozi umependeza na kitenge chako.

    ReplyDelete
  6. jamani balozi umesomea ujeshi nini?
    jiachie bana?mama balozi yuko swafi

    ikulu mwake sana!

    ReplyDelete
  7. mama balozi kalandana na rais wa malawi mbona?
    Tsere kabila gani huyu?

    ReplyDelete
  8. Hongera baloz kwa uteuzi kaza buti, nina hakika Ilala palikupa changamoto ya kutosha. Tuunganishe vema na hao majirani zetu kwani kumekuwa na biashara kubwa kati ya wananchi wa nchi hizi mbili ila kulikuwa na taarifa wkt fulani kwamba wafanyibiashara wakitz wananyanyaswa huko nadhani maadam upo eneo la tukio unaweza kuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuona na kushughulikia kero km hizo

    ReplyDelete
  9. Namuona classmate Fungameza-UDSM 2000. Wakilisha mkuu.

    ReplyDelete
  10. Mgeona wakati wa Mwl. Nyerere kina Henry Kissinger wa USA na Gromyko wa USSR walikuwa wakifika Ikulu Magogoni mkao wao ulikuwa kama wa Balozi Tsere.

    Mabalozi wa nchi za ulaya jasho lilikuwa linawatoka wakikutana na Mwl. Nyerere, maana ikipigwa barua kwao kuwa Balozi wao ana uwalakini basi Moscow au Washington au London lazima wa-'demote' balozi wao, ila Mwl. Nyerere akiseama 'Yes' basi ujie CV wa balozi yeyote wa kizungu itapaa kwa sana.
    Mdau
    Mfuatiliaji.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...