Habari ya kazi wakubwa,
Ningependa kuwajulisha mashabiki wangu wote na mashabiki wa muziki wetu wa kizazi kipya kwa ujumla kwamba, Msanii CP a.k.a Cpwaa ( King of Bongocrunk) bado anaendeleza libeneke kupitia mitandao mbalimbali. Kwa sasa unaweza pata historia, maendeleo yake,nyimbo, video na picha za matukio mbalimbali kupitia tovuti yake rasmi ya:
http://www.cpwaa.co.tz/
kupitia tovuti hiyo pia unaweza kujiunga na kutembelea tovuti zake nyingine za myspace,facebook fan page,twitter,youtube na blogsite.
Vilevile fatilia maisha ya Cpwaa ya kila siku kupitia blog yake ya:
http://cpwaa.blogspot.com/

"Taking Bongoflava to the next level" Pwaaaaa!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...