
ASSALAAMU ALAYKUM
Inshaallah Darsa ya Mwezi wa Ramadhani kila Jumamosi na Jumapili itaendelea mwaka huu hapa katika jiji la Leicester, UK.
Inshaallah Darsa ya Mwezi wa Ramadhani kila Jumamosi na Jumapili itaendelea mwaka huu hapa katika jiji la Leicester, UK.
Utaratibu ni huu ufuatao
SIKU: Jumamosi na Jumapili
SAA: Kuanzia Saa Moja kamili jioni mpaka Magharibi
UKUMBI: Hashi Centre, 60-66 NEDHAM STREET, Leicester, LE2 0HA
MIHADHARA
Pia katika mfululizo huu huu,
SIKU: Jumamosi na Jumapili
SAA: Kuanzia Saa Moja kamili jioni mpaka Magharibi
UKUMBI: Hashi Centre, 60-66 NEDHAM STREET, Leicester, LE2 0HA
MIHADHARA
Pia katika mfululizo huu huu,
Inshaallah kutakuwa na
MHADHARA katika siku hizi zifuatazo:
JUMAMOSI 28-08-2010
JUMAMOSI 04-09-2010
Nyakati za kuanza mihadhara pamoja
JUMAMOSI 28-08-2010
JUMAMOSI 04-09-2010
Nyakati za kuanza mihadhara pamoja
na majina ya wahadhiri yatatolewa baadae Inshaallah
Tujitahidi Waislamu wa Leicester na
vitongoji vinavyoizunguka kuhudhuria
katika mikusanyiko hii ya kheri
Wa Billahi Tawfeeq
Wa Billahi Tawfeeq
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...