WA MISS EASTERN ZONE),BW.KIM KIMENYA AKIONGEA NA WAREMBO PAMOJA NA WAGENI WAALIKWA WAKATI AKIWAKARIBISHA DINNER ALIYOWAANDALIA WAREMBO WA EASTERN ZONE KWA AJILI YA KUWAAGA KABLA YA KUJIUNGA NA KAMBI YA MISS VODACOM TANZANIA KWENYE HOTELI YA CITY STYLE SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 14.08.2010.KAMBI YA MISS TANZANIA INATARAJI KUANZA TAREHE 16.08.2010
MKURUGENZI WA KAMPUNI YA KIMKEV ENTERTAINMENT, BW.KIM KIMENYA AKIMKABIDHI POSHO YA KUJIKIMU MREMBO ANGELINA NDEGE.
Home
Unlabelled
DINNER YA KUWAAGA WAREMBO WA MISS EASTERN ZONE 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
jamani hao walembo kuwa pesa hadaharani hivyo vibaka wanaona. subirini kama kesho hutasikia mrembo kakabwa na kupigwa nondo
ReplyDeleteMbona sura za mabinti wa Bagamoyo sizioni!? Ok inawezekana ni kama kawaida yetu.. ok.. Labda mimi ni mgeni wa mji huu, japo nimeishi kwa miaka zaidi ya saba. lol
ReplyDeleteMbona hawa wako ktk pair was it a coincidence situation or planned. Hii inashawishi kila mmoja kuwa na wake
ReplyDeleteHuyo shortie mwenye pink naye mrembo?!!
ReplyDeletembona kina frola cwaoni anko???????????
ReplyDeleteHao ndio mapedeshee wa Bagamoyo, wakiongozwa na Bw, Kawogo hapo, na Kimenye mwenyewe, utawapenda kwa Mabinti, si unamwona Kawoho Katumbo kanataka kuchana shati kwa matumaini ya Ulaji, yaelekea hii biashara ni nzuri sana.lol
ReplyDeleteweew kaka mwenye black loo hilo tumbo..halafu eti wanakusifia!matatizo hayo.
ReplyDelete