Home
Unlabelled
FOR SALE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Unasema haijawahi kufunguliwa mbona iko wazi?
ReplyDeleteKama unataka serious buyer, utaje na bei ya hicho kidude...eboo!
ReplyDeleteunauza ipad umeweka picha ya iphone.
ReplyDeleteHIYO NI IPAD AU IPOD MBONA UNATUCHANGANYA?
ReplyDeletembona hueleweki...unauza ipod au ipad...?.
ReplyDeleteHIYO NI IPAD AU IPOD, AU IPHONE HEBU TUFAFANULIE, MIMI NAHISI NI IPOD AU IPHONE KWANI IPAD NI KUBWA SREEN YAKE
ReplyDeletedah! blog hii imejaa waosha vinywa! utafkiri jamii forum...!! lakini mdau kweli taja bei yake kabisa
ReplyDeleteMdau,hiyo ni ipad au ipod?ushauri, ukiuza kitu kwenye mtandao, ufafanuzi zaidi ni muhimu,kwa mfano,bei, size(GB),vilevile unaweza kuongezea mfano- Imetengenezwa wapi,maana wachina balaa!isijekuwa Kama ya Yule mdau aliyeleta mjadala wa iPhone ya zawadi!
ReplyDeletewatu bwana,wee unatangaza biashara alafu huweki bei,ndio nini sasa, unaogopa kwa kuwa bei kubwa sana au?next ime michuzi kabla huja pblish uliza bei sh. ngapi,ndio maana hatuendelei.
ReplyDeleteJAMANI TUONDOE UBISHI HUYO JAMAA NI MZUSHI AMEKOPI PASTE IMAGE HIYO APO YA KUMI NA TISA FUNGUA LINK HIII MTAONA.....
ReplyDeletehttp://www.google.com.my/images?hl=en&um=1&ie=UTF-8&source=og&sa=N&tab=wi&biw=1366&bih=665&q=ipad%20Wifi-3GS&tbs=isch:1
MKINIBANIA TENA NA LEO HII POST POA LAKINI NATAKA SEMA TUU KUWA WATU WASIPENDE UMIZA AKILI ZETU HAKUNA IPAD WALA NINI HIYO NI IPHONE.