Mwenyekiti wa Benki ya KCB Tanzania Dk Edmund Mndolwa akihutubia wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi za washindi wa mashindano ya wazi ya gofu yaliyodhaminiwa na benki hiyo.
Mwenyekiti wa Benki ya KCB Tanzania Dk. Edmund Mndolwa akimkabidhi zawadi ya begi Bi. Mwanaidi Ibrahim ambaye alikuwa mmoja wa washindi wa michuano ya wazi ya gofu iliyodhaminiwa na benki hiyo katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Gymkhana. Nyuma ni kepteni wa mchezo huo Joseph Tango.
Vikombe na baadhi zawadi za washindi wa mchezo wa gofu
Mchezaji wa Gofu ambaye pia ni mwanachama wa Dar es Salaam Club, Tayana William, akijiandaa kupiga mpira wakati wa mashindano ya wazi ya mchezo huo yaliyodhaminiwa na Benki ya KCB na kufanyika katika viwanja vya Gymkhana.
Christina Manyenye Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Jamii KCB wa kwanza kulia pamoja na wafanyakazi wenzie.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...