
.jpg)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duh!... Mkuu wa wilaya huyo... miye yangu macho tuu
ReplyDeleteassalaam alaikum, napenda nifahamu kwamba iwapo mnatangazo la Vodacom haitokuwa tatizo kwa stori ya tigo
ReplyDeletesi tatizo kwa kutangaza kampuni mbili za simu, kwa sababu huwa wanajifanya namna gani kwa kuwamiliki wanaowapoa matangazo
ReplyDeletehivi ni macho yangu au,mbona huyo beatrice kinabo simuoni...
ReplyDeletehata mie nashanga! kumbe kuna beatrice wa kiume nowadays!
ReplyDeleteNyinyi ma-anonys mnayemuuliza Beatrice vipi nyinyi? Hamuoni kama Beatrice kazibwa na TUMBO la mkuu wa wilaya, mzee L Gama. Damn, jamaa ana tumbo kitu. Dah, naona anahitaji Diet ya nguvu saaaana.
ReplyDeleteSasa unafungaje promotion bila kutangaza mshindi, au ndio wameliwa maana walisema watamtangaza mshindi mwisho wa promotion, afu kama vipi hawa watu wa vituo vya habari wanote mwisho wa hizi promotion, maana nimesikia clouds leo kupitia Leo tena watangazaji wote wanasisitiza watu waendelee kushiriki
ReplyDeleteMdau