Home
Unlabelled
Ziara ya Dr. Shein kisiwani Pemba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hebu naomba mnieleweshe manake naona kama sielewi vile. Naona raisi anamtu mwingine anasema ni mgombea mwenza. Je huyo sindio makamu wa raisi au? na huyu naye naona ni makamu wa raisi. Sasa nakua nachanganyikiwa...
ReplyDeleteWamebadilisha siku hizi?
Nakumbuka tulivyokua tunakua ilikua raisi na makamu wa raisi ambayo ilikua mmoja akitika bara mwingine visiwani...Halafu waziri mkuu na makamu wa waziri mkuu
Lakini siku hizi hata sielewi kuna makamu wa raisi wawili? naona wanasema mgombea mwenza wa raisi, na pia siku hizi kuna makatibu wakuu katika kila wizara na naibu makatibu wakuu...Naomba mnieleze kazi ya katibu mkuu ni nini na naibu katibu ni ipi?
Thanks???
Nashukuru kwa kuuliza bila kuanza kuanza kutwambia hurudi nyumbani na tunajua watanzania wengine mmekuwa mbali na nyumbani kwaababu ambazo ziko mbali na uwezo wenu mojawapo kujifanya wakimbizi, Kwanza kazi ya katibu mkuu ni mtaalamu aliyeajiliwa na serikali katika wizara husika huyu siyo mwanasiasa kama waziri na kazi ya naibu katibu mkuu naye vile kama katibu mkuu lakini huyu haudhurii vikao vya baraza la mawaziri ila atafanyakazi kama katibu mkuu ikiwa katibu hayupo na kumsaidia katibu mkuu kwani wizara ni kubwa mno.
ReplyDeleteMdau Uk
Sijaona mmtundiko wangu wa kukaa chini na kupaaza sauti, katika hali halisi ya mazingira yetu na miktadha ya sasa!
ReplyDelete