Ushoshi Sengupta, Miss India 2010; Hellen Dausen, Miss Tanzania 2010; Cilou Annys, Miss Belgium 2010; Stefania Fernandez, Miss Universe 2009; Claudia Arce Lemaitre, Miss Bolivia 2010; Mariana Paola Vicente, Miss Puerto Rico 2010, and Yendi Phillipps, Miss Jamaica 2010, arrive at the Mirage, Las Vegas to film a remote segment in preparation for the Miss Universe 2010 Competition on Tuesday, August 10, 2010. The Miss Universe 2010 competition will air live on the NBC Television Network from the Mandalay Bay Hotel and Casino in Las Vegas, Nevada at 9 PM ET, August 23, 2010.
Hellen Dausen with other beauties at the Mirage in Las Vegas last night


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. mr michuzi habari za kazi. mimi nina swali 1 sisi watanzania tunjifanya siyo wabaguzi sasa yule dada wa kitanzania mwnye asili ya kihindi mbona tumembagua? na kama waliona kwamba yeye si mtz kwa nini walimkubali ashiriki na mpaka anashinda wa bongo tulikuwepo wapi? AIBU JUU YETU KWANI SASA DUNIA NZIMA INAJUA KAMA SISI WABAGUZI TENA KUSHINDA MAKABURU

    ReplyDelete
  2. Marangu OneAugust 12, 2010

    Kwa kweli hawa ni ma-Miss wa ukweli - siyo wa kuunganisha vipande vipande.

    All the best

    ReplyDelete
  3. Anon wa mwanzo hujakosea - tanzania kweli ni wabaguzi ndio maana hatuendelei daima... wenzetu tayari washapata rais mweusi USA sisi eti baso tunabagua.. sasa aibu imetukaa na hadhi pia ishatutoka.. isitoshe wenzetu wenye asili ya kiasia watanzania mashaanza ktuona wabaguzi na watarespond nao kutubagua zaidi - maana hawatotuamini maisha.. sasa hii itazidi kujenga chuki minogoni mwetu..

    tuliyataka sisi haya yote

    ReplyDelete
  4. miss wetu ana wakati mgumu missjamaica ni mzuri sana,halafu nimesoma profile yake nia alishashiriki miss world na ni model wa muda mrefu hii ni changamoto ma miss waliopita wenye viezo wanaweza kushiriki piana zawadi ziwe nzuri jamani miss universe jamaica wao walitoa cash almost 60mil cash na gari lenye thamani ya 80mil za bongo tuwaangalie wenzetu na tuwape moyo warembo wajitokeze tanazania ina warembo wengi sana.

    ReplyDelete
  5. aiyaiyaiyaaaaaaa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...