(Picha na Tiganya Vincent - Globu ya Jamii)
Home
Unlabelled
Mtunzi wa Kitabu cha ushairi kwa lugha ya Kiingereza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera sana Mohamed.
ReplyDeleteUnanikumbusha Mzee Faraji Katalambula. Utakutana na vikwazo vya kukukatisha tamaa lakini ukilijua hilo haitakusumbua. Gawanya muda wako vizuri na Mungu atakubariki.
Mdau.
Hongera sana kijana! Ni mwanzo mzuri; na inatia moyo.
ReplyDeleteItakuwa vizuri tukapata na taarifa zaidi, hasa za upatikanaji wake na bei. Pia, je, kitatumiwa kwenye mitaala ya shule (za msingi au Sekondari)?
Hongera mdogo wngu kiumri na mkubwa wangu kielimu, fuata tu nyayo za machochoki wa kiponda hyo ndio elimu bora ila msiwe mnatunga mapenzi tu maana vijana kwa mapenzi....
ReplyDeleteGod bless u