JK akiwasili kuhutubia maelfu ya wananchi katika
mkutano wa kampeni uwanja wa Mashujaa mjini Moshi leo
JK akipokewa uwanja wa Mashujaa mjini Moshi
Uwanja wa mashujaa ulikuwa hautoshi leo

JK akihutubia Kirua Vunjo leo
Kinamama wa Kirua Vunjo wakimlaki JK
Wananchi wa Kilema wakiwa na majani ya sare wakimlaki JK leo
JK akihutubia umati Mwika leo











Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. hakuna ubishi moshi mjini inarudi ccm,hilo jimbo ndesamburo alikuwa anallipata kutokana na makundi ya ccm wenyewe,moshi mjini asilimia 80 madiwani ni ccm,majimbo ya moshi,karatu na tarime ni uhakika 100percent yanarudi ccm,chadema now jimbo la zito peke yake ndo wanauhakika,hata tarime cuf wamekuwa wengi kuliko chadema,wapinzanni tamaa ndo inawaponza,ccm bado inam uda mrefu kutawala nchi hii,maana hakuna upinzani wa kweli,huwezi mpinzani kupewa hela na ccm za kampeni alafu useme democracy,hajinga ndo waliwao.

    ReplyDelete
  2. Hivi kwanini wabongo wanaita vyama vingine vya kisiasa vyama vya upinzani? Mimi sielewi hiyo maana kwani vina a mpinga nani? Ni vyama vya kisiasa hamna anayempinga mtu hapa...Nyie ndio manawafanya watu wasio na elimu kufikiri ukiwa kwenye chama kingine basi wewe ni mpinzania sijui wa serikali au nini???na mtawafanya watu waogope na kufikiri ukijiunga na chama kingine ni unaipinga serikali

    Get the facts right

    ReplyDelete
  3. Sawakabisa mdau,nadhani hii lugha imekuzwa makusudi na chama cha UPINZANI cha CCM.

    ReplyDelete
  4. UMATI WA WATU SIO KURA. WATANZANIA WENGI HAWANA KAZI ZA KUFANYA HIVYO WAKISIKIA KUNA MTU MAARUFU ANAKUJA KWENYE ENEO LAO WANAJITOKEZA KWA WENGI TU KWENDA KUSHANGAA.

    KWA MFANO ALIPOKUJA PAPA JOHN PAUL HAPO MOSHI WATU WENGI WALIJITOKEZA KWENDA KUMUANGALIA, LAKINI WENGI WAO HAWAKUWA WAKATOLIKI NA WALA HAKUBADILI IMANI YAO KWENDA KATOLIKI BAADA YA PAPA KUONDOKA.

    MATOKEA YA UCHAGUZI SUBIRINI HADI OCTOBA 31. FULL STOP.

    ReplyDelete
  5. VERY GOOD COMMENT annon wa pili hapo juu....Kuita vyama vingine kwamba ni vya upinzani kunawakwaza watu!

    ReplyDelete
  6. Moshi jana funika lakini ukabila wa kichaga ndo tatizo hoo salakana mrombo... so what kwani huyo ndesa si mu´old moshi tatizo liko wapi hapa tunataka kubadili hii mboga ya chadema tule ccm au nk

    ReplyDelete
  7. JAMANI JAMANI JK YEYE KAMA YEYE HAITAJI HATA HAYO MATOTI KUMPIGIA KAMPENI KWANI YEYE MWEMNYEWE NI KAMPENI TOSHAA.BG UP JK...

    ReplyDelete
  8. SIJUI NI KUISHI NJE AU? MBONA VIJUMBA VIMECHOKA HIVYO?? NA WANANCHI BADO WANARITHIKA NA HALI HIYO? MAANA TUSISEME TUU OOH JK KAITEKA MOSHI ALAFU TUNAONYESHWA WATU WAMECHOKA, MABATI KUTU!! MMH JAMANI KWELI NDIO LIFE MNAYOTAKA AU NI KUFWATA MKUMBO??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...