Kundi la muziki wa aina ya Mchiriku a.k.a Mnanda (Jagwa Music) limeanza makamuzi ya kasi kubwa nchini ya Denmark.

hizi ni baadhi ya picha za namna shughuli ilivyokuwa hapo jana usiku. Leo hii kuanzia saa Mbili usiku Jagwa watakuwa katika mji wa Roskilde kwa ajili ya makamuzi mengine.

Kwa niaba ya wasanii wote pamoja na kampuni za jahazi media na maisha music tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwa jumuiya ya watanzania ambao walijitokenza kwa wingi kujumika nasi.


ahsanteni

Kwame Mchauru

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Dah! anko umenikosha kweli,next time mwaga misegele,Mindnda na Vanga zakujizolea.udenda unanitoka,duh! minonino hiyooo.
    Salamu kwa HADIJA KICHUPI,SAIDI KICHECHE, MWAMVITA JAMVI LA WAGENI.
    MWANAHERI MDONDO,BOKA MITAMA,IBRA NGETA, MSOGA, MWAMVUA NISAIDIE, MWANAHAMISI CHAWOTE;
    SIKUZANI BAKARI;
    MWAJUMA HAZIMTOSHI,MUDI KWIJI;CHAUSIKU SWALEHE:
    FIKIRI ;SIBAYA ;MWAJUMA RAMADHANI;NYAMIZI,JUMA FAKI JUMA NA LUCY MOYO
    R.I.P MUDI MIKOBA,MZEE IDDI NA KASSIM ALLY:
    WABEBA Box Wazalamu mpooooooooooooo??????????

    ReplyDelete
  2. Majuto SwedenSeptember 13, 2010

    Kama watarudi wote bongo ni bahati. Nina uhakika kama waandaaji hawakuwa makini harudi bongo mtu. Ni kazamia (box)kwa sana
    Mdau Majuto Uswidi.

    ReplyDelete
  3. jamani tuleteeni UK hawa watu!!

    ReplyDelete
  4. ACHA HIZO WEWE!!!!! WAMERUDI WOOOTE BONGO WALA HAWAKUBABAIKA NA ULAYA HABARI NDO HIYOOO!
    ILA EE BWANA WEE SIO MCHEZO JAMA WAKO JUU WANA JUA KUCHEZA WADENISHI(WAZUNGU) WALICHANGANYIKIWA JAMAA WALIKAMUA KISAWA SAWA WALIO WALITOA UJUMBE KWA KUCHEZA NA WAZUNGU WALIELEWA WAKO JUUU UKWELI KILA ALIYE KUWEPO ALIFURAHI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...