Katibu wa Taasisi ya Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (SWAUTA), Bi. Jairos (kulia) akisoma Ilani ya Uchaguzi ya wapiga kura ya mwaka 2010 iliyoandikwa kwa maandishi maalumu ‘Nukta Nundu’ kwa ajili ya kuwasaidia wasioona wakati wa uzinduzi wa ilani hiyo ambao umefanyika jijini Dar leo. Kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti SWAUTA, Bi. Cecilia Masika, Mkurugenzi wa TGNP, Bi. Usu Mallya na Mkurugenzi wa ADD, Sixbert Mbaya. Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii
Sehemu ya waliohudhuria hafla hii
wahudhuriaji wakifuatilia hafla



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...