Mchezaji wa Yanga , Nsa Job akitoa pasi ya mpira kwa kutumia kichwa , huku akilindwa na beki wa Kagera Sugar, Said Mourad ( jezi 15) wakati wa mchezo wao uliofanyika leo kwenye uwanja wa Jamhuri wa Mjini hapa. Yanga ilishinda bao 2-0.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kwa jinsi mpira ulivyochezeshwa jana ni lazima ubingwa upatikane kwa hali na MALI.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...