Home
Unlabelled
linavyoonekana daraja la vingunguti kwa sasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hongera wahusika ! litatusaidia wana wa nchi ,ila tu hayo culverts zilizotolewa inapaswa ziondolewe eneo la tukio ili zisiwe kama uchafu ktk eneo hilo na kuweza kuleta madhara kwa watoto wakichezea.
ReplyDeleteMZUSHI
hongera wahusika ! litatusaidia wana wa nchi ,ila tu hayo culverts zilizotolewa inapaswa ziondolewe eneo la tukio ili zisiwe kama uchafu ktk eneo hilo na kuweza kuleta madhara kwa watoto wakichezea.
ReplyDeleteMZUSHI
amna kitu hapa wizi mtupu msijenge siku zote leo uchaguzi mwajifanya kiliweka mitandaoni, mbona lilivyofumuka na maji hamkuliweka tatizo mmezoea kudanganya watanzania na mmetupata leo twawashangilia mtafikiri wafalme, ila tukumbuke hivi vipande vya nguru manavyotupa nasi twala bila ya kuosha mbona tutakoma
ReplyDeleteWageni wa vingunguti watatesa.Kamba hazitakatika.
ReplyDeletemambo si ndio hayo kwakweli sisi wakazi wa tabata tunashukuru sana hiyo ni hatua kubwa sana
ReplyDeleteyaani bado tunajenga vidaraja vya hivi? halleluja !
ReplyDeleteNa ukiuliza thamani yake utaambiwa ujenzi umekula billioni 5 wizi mtupuuuuuuu.
ReplyDeletemdau UK.
Ok sio mbaya heri nusu mkate kuliko kukosa mkate mzima e bwana.Litasaidia kwa kipindi cha kutosha ikiwa usimamizi na jicho la ulinzi litaelekezwa.Ee si wapo watakaochakachua kupata chuma chakavu ili kwenda kuuza, chonde wasifanye tafadhali! na ole kama hizo culvets zingekuwa za chuma pangekwishakua pasafi hapo.Ok
ReplyDelete