Mwenyekiti wa Travel Start,Stephan Ekbergh (kulia) akiongea leo wakati wa uzinduzi wa mtandao wa uwakala wa kuuza tiketi za ndege (Online Travel Agency) uliofanyika usiku huu katika hotel ya Kilimanjaro Kempiski.Kushoto ni Mkurugenzi wa Travel Start - Tanzania,Mustafa Rajan na katikati ni Meneja mkuu wa Travel Start,Sukaina Abbas.
Mkurugenzi wa Travel Start - Tanzania,Mustafa Rajan (kulia) akibadilishana mawazo na mmoja wa wageni waalikwa waliohudhulia uzinduzi wa mtandao wa uwakala wa kuuza tiketi za ndege (Online Travel Agency) ambao ni mara ya kwanza unaanza kufanya kazi hapa nchini.uzinduzi huo umefanyika jioni hii katika hotel ya Kilimanjaro Kempiski.
Wadau wa mashirika ya ndege yaliopo hapa nchini wakifurahia jambo wakati wa uzinduzi huo.
Wadau wa Fast Track,Abbas Rajan (kulia) na Hasnain Rajan wakifuatilia uzinduzi huo.Timu ya wauzaji wa tiketi katika mtandao wa uwakala wa kuuza tiketi za ndege (Online Travel Agency).toka kulia ni Sofia Mzena,Anazad Sadia,Hasnain Rajan (pili toka kushoto) pamoja na Sukaina Abbas,wakiwa na Mwenyekiti pamoja na Mkurugenzi wa Travel Start-Tanzania wakati wa utambulisho wao kwa wageni waalikwa.
wageni waalikwa.
wafanyakazi wa Fast Track pamoja na wale wa Travel Start wakifuatilia kwa makini uzinduzi huo.
Wadau wakipeana mawili matatu.
Watu wengi walihudhuria uzinduzi huo wa mtandao wa uwakala wa kuuza tiketi za ndege (Online Travel Agency) katika hotel ya Kilimanjaro Kempiski jioni ya leo.

unaweza tembelea mtandao huo kwa link hiyo hapo chini.

www.travelstart.co.tz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hayo ndio maendeleo tunayoyataka ktk nchi yetu

    ReplyDelete
  2. Ofisi hii kila mfanyakazi na wakurugenzi ni very smart.

    Kuna nafasi za kazi huko?

    (US Bloffer)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...