Mwenyekiti wa Simba SC Alhaj Ismail Aden Rage, kwa mujibu wa msimamizi wa uchaguzi, anaongoza matokeo ya nafasi ya Ubunge katika kata zote 25 za Tabora mjini ambapo chama chake cha CCM pia kimezoa majimbo 24 kati ya hayo 25 wakati tukienda hewani. Idadi kamili ya kura alizopata inasubiriwa wakati wowote kuanzia sasa
Mwenyekiti wa Simba SC Alhaj Ismail Aden Rage, kwa mujibu wa msimamizi wa uchaguzi, anaongoza matokeo ya nafasi ya Ubunge katika kata zote 25 za Tabora mjini ambapo chama chake cha CCM pia kimezoa majimbo 24 kati ya hayo 25 wakati tukienda hewani. Idadi kamili ya kura alizopata inasubiriwa wakati wowote kuanzia sasa

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...