Mwanamuziki nguli toka Congo Kinshasa Bozi Boziana akiwa na mwanamuziki nyota wa kike Blessing Ayembe wakiongea na waandhishi wa habari baada ya kutua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport tayari kuungana na Twanga Pepeta kwa maonesho na kurekodi pamoja. Kwa mujibu wa mkurugenzi wa Twanga Pepeta Da'Asha Baaraka, Boziana na Blessing watafanya mazoezi ya pamoja na African Stars kabla ya kurekodi albamu ya pamoja katika mikakati ya bendi hiyo kupasua anga ya kimataifa.
Picha na John Bukuku

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Big up Twanga, fanyeni kolabo ya kufa mtu hapa kwani huu ndo wakati wa kujitangaza na manguli wa muziki. I can't wait to buy your album

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...