Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein, katika kikao cha siku moja cha kamati Maalum ya CCM. Kikao hicho kilifanyika katika ofisi Kuu ya CCM iliyopo Kisiwandui, Zanzibar. Kushoto kwake ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, ambaye pia ni Rais mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume na kulia kwake ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, ndugu Shamsi Vuai Nahodha.
Home
Unlabelled
dk. shein aongoza kikao cha kwanza cha kamati maalum ya CCM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Namtakakia Dr. Shein kila laheri katika safari yake aliyo ianza Mwenyezi Mungu akamsaidie akaongoze vema....zanzibari Daima CCM Zaidi
ReplyDeleteCCM CCM Aaaaaa Aaaaaa Chama Cha Mapinduzi CCM namba Mojaaa.
Hongera baba Allah akuongoze.
ReplyDeleteCCM oyeeeeeeeeeeeeee CCM juuuuuuuuuuuuuuuuu CCM no 01 hata nchi jirani na dunia zajua hilo.
Asiye penda oungozi wa CCM anyoshe kidole juu