Sisi ni vijana tuliojiajiri tuna kampuni yetu inaitwa M &K Brothers Production kwa sasa tuna DVD ya mahafali ya Chuo kikuu(DUCE) yaliyofanyika tarehe 13/11/2010 iko kwenye ubora wa hali ya juu sana na kila tukio muhimu linaonekana na kila mhitimu wakati anapewa cheti anaonekana. Ni nzuri sana kwa kumbukumbu zao.
Tunapatikana Tabata Segerea
no zetu ni
0653 588281 na 0717 909659
DVD hiyo inauzwa Sh15000 tu
Wadau wa mikoani tunaweza kuwatumia.
Asante sana ndugu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. kwa wabongo, atanunua mmoja wengine wata copy.

    hakikisheni hazicopic-mtaliwa.

    ReplyDelete
  2. Wajasiriamali fuateni ushauri wa anonym. wa 15/11/2010 01.57 PM nduguzanguni. hii ni bongo bwana, wanamuziki wanalia.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...