Wabunge wa viti maalum (CCM) wakipongezana wakati wa hafla maalum ya kuwapongeza wabunge hao iliyofanyika leo katika Kanisa la Assemblies of God Mikocheni B. Dar es Salaam. Kushoto ni Mchungaji wa kanisa hilo Dk. Gertrude Rwakatare, Mary Mwanjelwa na Rosweeter Kasikila.
Baadhi ya watu waliohudhuria ibada maalum ya kuwapongeza wabunge wa viti maalum (CCM) iliyofanyika leo katika Kanisa la Assemblies of God Mikocheni B, Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. michuzi naomba usinibanie maoni yangu tafadhali. nasikia huyu mh ameanza kutangaza kuwa ni waziri je una fununu kuwa ni wizara gani? ni huyo wa katikati.

    ReplyDelete
  2. anko ebu nisaidie huyo kaka aliyevaa shati la draft hapo kushoto siyo athumani hamisi mtaalama mwenzako aliyepataga ajali ?

    ReplyDelete
  3. MAMA LWAKATARE ANA UPAKO JAMANI!!!MUNGU AKUBARIKI SANA....UMEPENDEZA SANA MAMA....KITU KIMOJA TUU MIMI KINANIUDHI NI WEWE KUWA CCM

    ReplyDelete
  4. Huyo wa katikati akiwa waziri mimi najiuzulu utanzania!!

    ReplyDelete
  5. annon Nov 22, 08:50:00 AM unayetaka kujiuzulu utanzania,ebu tupe dondoo kulikoni tena uyo mama??

    umeniwacha hoi

    ReplyDelete
  6. Je, huku si kuingiza siasa kwenye nyumba ya ibada? Anaaminije kama wafuasi wake wote ni CCM? Kwanini wasipongezane baada au kabla ya ibada? Sipendi viongozi wanaochanganya dinia na siasa. Mnatuletea makandokando TZ! ACHENI!

    ReplyDelete
  7. WEWE UNAETAKA KUJIUZURU UTANZANIA TAFADHARI TUNOMBA SABABU?
    MAANA UNA UKWELI KUH HUYO WA KATIKATI TEH TEH TEH

    ReplyDelete
  8. jamani hebu nielimisheni kazi maalumu za wabunge wa viti maalumu, pili je wanalipwa posho sawa na wamajimboni? hivi kukiwa hakuna nafasi hizi kuna athari yeyote kiuwakilishi?mbona hawakufanya kampeni naona kama wanapeana tu ndio maana sherehe kila siku kupongezana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...