Home
Unlabelled
jedwali la matokeo ya awali ya urais hadi sasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hahahahahha misupu umenichekesha kweli mmepania kuchukua Uongozi hiyo dira yako iombee kwanza igeuke kiukweli2 tuone iweke ktk ya bible uone mto,fanyeni lkn mjue mungu yupo.
ReplyDeleteHIVI NYIE WATU MKOJE JAMANI...?? KILA KITU MNASEMA MNAIBIWA ,...WAKATI KURA HAMJAPIGA..HV HAMUONI HAIBU? MKUBALI KUSHINDWA JAMANI.
ReplyDeleteTENA MNAOLALAMIKA HOVYO WOTE MKO NJE YA TZ. MSIONE WENGI WA WATU KWENYE MIKUTANO ..HAO VIJANA ASILIMIA KUBWA HAWAJAENDA KUOPIGA KURA...SO MSICOMPLAIN HOVYO
lazima ujue vijana wengi walijiandikisha maeneo ya vyuo wanavyosoma, serikali ya ccm ikaamua vyuo visifunguliwe kabla ya uchaguzi ili mradi tu vijana hao wasishiriki kwa sababu wengi wao watakuwa mbali na maeneo waliyojiandikisha. na vijana wengi wapo against ccm.kwa hiyo tuna haki ya kulalamika kwa sababu hatujatendewa haki.pia matokeo ya bara mbona yanacheleweshwa ina maana watu wa bara hawajui kuhesabu? kwa nini zenzibar matokeo ya urais na wabunge wameshapata?
ReplyDeleteNyie majuha mnaolalamika dhidi ya ushindi wa JK kweli hamna akili. Sasa tunawaomba kaeni kimya mpaka 2015. JK OYEE CCM OYEE. Mbona upinzani wamechukua ubunge sehemu kadhaa kwenye majimbo hamsemi kitu? Mpaka JK ashindwe? Loo aibu. REDET walikuwa right. JK lazima atachukua asailimia 70 na ushee. Hello heloo
ReplyDeleteHuyo anonymous wa 03.22am naona haelewi jiografia. unataka kulinganisha zanzibar na bara???? zanzibar ukiitumbukiza bara utaiona?????
ReplyDeleteUse your brain before you make stupid complains.
We Anonymous 03:22:00 Unachoongea, sidhani kama umekipima ndipo ukaongea, uzezi fananisha ukubwa wa eneo la ZNZ na eneo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kisha ukataka zoezi la kuesabu na kutangaza matokeo lifanane lazima kutakuwa na utofauti wa muda kwa kiasi kikubwa. Acha kulalamika badala yake tuoa angalizo jinsi ya kuboresha.
ReplyDeleteSpragga"F"
Please usiweke vitu kama hivi wakati mnategemea kutangaza soon, Ingekuwa Dr. Slaa kashinda mngeweka. Be patient untill they finish up na kuyatangaza rasmi. Nasema hivi kwan nasikitika kuona fujo zinazoendelea katika nchi yanguu hii ya amani.
ReplyDeleteCCM ni wezi tu! walidhani kupiga kampeni baba,mama na mtoto ndo watashinda kwa kishindo! Nilivyoona matokeo yanawaendea kombo mkaanza kuchakachua! Lakini ujumbe umewafikia kuwa sisi wapiga kura hatuwataki nyinyi mtutawala, ndo maana tunachagua watu tunaowapenda! Kwanini mtuchagulie viongozi? Naomba Mungu aliye mbinguni akutane na kula anayechakachua kura za watu! Huu ndo mwisho wa ccm!!!!!!!
ReplyDeleteMwambieni Jk mwenyewe awambie aliyoyakuta Mwanza na Shinyanga. Msiandike tu kwa ushabiki wa kishamba.
ReplyDeleteGo Go Go Jk... You lead others follow...
ReplyDeleteMnalalamika nini, eti mbona matokeo yamegeuzwa na Michuzi, mbona Michuzi mwenyewe amekwishawapa na link pia kuwa ametoa hayo matokeo kwenye gazeti lenu la Mwananchi lilikuwa likifanya kampeni ya kufa mtu usiku na mchana? Leo mnalikana sio lenu sio ama kweli nyie vigeu geu kweli.
ReplyDeleteHaya kati ya viti 289 mkipata angalau asilimia 10% sio mbaya maana tayari ajira hizo subirini pensheni baada ya miaka 5. Na nyie wapiga debe endeleeni na shida zenu kamwe msitegemee kuwa eti wanasiasa watawaondolea shida mlizonazo.
NYIE WOTE MNAOTETEA CCM HAMJUI JINSI HUKU ILIVYOKUWA MBINDE KUTANGAZA MATOKEO YA VYAMA VYA UPINZANI. YANI HAWA CCM BILA WATU KUNG'ANG'ANIA PALE WALIKUWA HAWATAJI. LAKINI MBONA KWENYE MAJIMBO AMBAYO CCM IMESHINDA KIUHALALI WALIKUWA WANATANGAZA MARA MOJA. KAMA ARUSHA HIYO FUJO ILIYOTOKEA MUNGU ANAJUA.
ReplyDeleteACHANI SAA YA MUNGU IMEFIKA NAYO NI SASA. HUYO ATAKAYESIMAMISHWA KINYUME NA MPANGO WA MUNGU MTAJIONEA WENYEWE HAKUNA CHA SHEYE YAHAYA AU MAJI MAREFU.
MUUMBA WA NCHI YUKO TANZANIA NA WATU WAKE
Watanzania wenzangu tuache jazba. kura hazijaibiwa. Tatizo ni kuwa kama sote tunavyojua, Chadema haina presence yoyote katika vijiji zaidi ya 2,000. Pili, nadhani tatizo ni kuwa chadema walijidanganya watashinda kwa hivyo hawataki kusikia chochote. Tatu, chadema (a) inatakiwa ijipange vizuri katika kukuza mitandao yake nchini kote; (b) wabunge wa chadema lazima watekeleze ahadi zao kati ya sasa na mwaka 2015; kwa mfano kina shibuda na lema walioahidi katika kampeni kwamba wakichaguliwa watahakikisha barabara zote zinatiwa lami kila mtu anapata maji safi, etc. etc, etc. Vinginevyo, wananchi watakatishwa tamaa na wanasiasa wa upinzani kama vile katika nchi nyingi za Kiafrika (e.g. Congo brazaville, Sierra Leone, Zambia, Senegal n.k.) Kwa sasa watakaoshindwa lazima wakubali kuwa wameshindwa kihalali na WASITHUBUTU KUMWAGA DAMU YA WATANZANIA KAMA WALIVYOTISHIA... la sivyo......
ReplyDeleteKilichojitokeza ni kuwa mgombea wa chadema akishinda, hakuna fujo, mgombea wa ccm akishinda wahuni wanaanza kulalamika au hata kufanya fujo. au ndio chadema wanatekeleza ilani yao ya kumwaga damu kama walivyoahidi? Onesmo.
ReplyDeleteswala si eneo bali ni efficiency wa wa2 walichaguliwa kufanya io shughuli!!kwan idadi wa wahesabu kura zanzibar inaendana na population ya nchi vivyo hivyo bara kwa idadi ya wahesabu kura waliopo inawezekana kabsa kupata matokeo by now!!unaweza kulinganisha size au population ya Tanzania na Brazil bt wao washapata matokeo hayo!!!size is not a point,efficiency na wanavyozidi kuchelewesha na wanazidi kutia wa2 hofu dhidi ya uhalali wa hayo watokeo cz so far habari za ajabu kibao zshaanza kutapakaa kila kona!!!!
ReplyDeleteKweli Mdau, Redet were right, their opinion poll was scientific. We are expecting between 60% and 70% of the votes for Honourable Dr JM Kikwete. Wasiopenda waende jahanamu kwa baba yao lucifer the accursed wakafanye fujo huko na wanachuki wenzao!!!1!!!
ReplyDeleteAshakum si matusi: lakini hawa kyadema wabishi kama kinyesi cha asubuhi!!! Lo!!!! Wameshindwa fairly and squarely lakini bado hawataki. Au ndiyo wanataka kutekeleza ile ajenda yao ya kumwaga damu? Kama ndiyo hivyo nawaambia hatuwaogopi...wahuni na vibaka wao wengi kwanza hawakupiga kura.
ReplyDeletewadau, slaa ulimi nje!!!!!matusi yao yatakoma sasa!!!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteMbona hao Mwananchi wanashindwa ku-update matokeo yao? Yaani spidi waliyokuwa nayo imepungua kabisa, sasa sijui watamwangaliaje usoni JK na matusi yote waliyokuwa wanaandika juu yake, uzushi na uwongo juu!
ReplyDeleteAiiibu, mie ningekuwa mhariri ningeanza mbele!