Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana kwa mara ya kwanza na baraza lake jipya la mawaziri ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi(picha na Freddy Maro)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. mkafanye kazi kweli kwelimuzembe wa baadhi ya wafanyakazi wa juu ktk mawizara,urasimu ukomeshwe kama alivyosema JK Hasa mahospitaalini,umeme,barabara,vyuoni,mahakamani,barabarani kuna nuka rushwa kila mmoja anajua yupo wapi

    ReplyDelete
  2. kwamtindo huu wa kuandikia mapajani hata kwa mawaziri,basi hata watoto wetu hawatopata madawati wala maabara mashulen.mtoto umleavyo ndivyo akuavyo,wahenga walinena

    ReplyDelete
  3. Michu tuaomba utuwekee hints na picha za kikao cha Jumapili ya jana kati ya Waziri Magufului na wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi.

    Nkyabo - Bongo

    ReplyDelete
  4. Kitu cha kwanza muhimu na dharura kushughulikiwa na hilo baraza jipya ni kurudisha umeme.

    Bila umeme wa uhakika Tanzania itabakia nchi maskini.

    ReplyDelete
  5. Nahisi waafrika tuna ka ucomplication fulani ambako ni ka laana ka asili. hapo mbwembwe kibao ingia kazini sasa bure.kwani magufuli anawezaje?????tunahitaji mdelive na si vinginevyo.natamani kuiona tanzania ikiwa mtumishi anamnyenyekea mwananchi kama walioendelea.kikwete ni mchapa kazi ila timu du.

    ReplyDelete
  6. Yaap, mawaziri wako makini. Nimefurahishwa na walivyo makini kuchukua notes. Safi sana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...