JK akiwasalimu baadhi ya watoto waliokuja kumlaki katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo asubuhi.Rais Kikwete anatarajiwa kuongoza kikao cha Kamati kuu ya CCM katika ukumbi wa White House mjini Dodoma.
JK akisalimiana na baadhi ya wakazi wa mji wa Dodoma waliojitokeza na kumpa mapokezi ya furaha katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. OOOOooooh hivyo viduchu mashallah! watoto wazuri mashallah wamefurahi na Raisi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...