benki ya TIB aliyozindua JK leo
JK akipeana mikono na Gavana wa Benki Kuu Profesa Benno Ndullu wakati alipowasili kufungua makao makuu ya TIB pamoja na tawi la benki hiyo Mlimani City jijini Dar leo. Wengine toka shoto ni Mkurugenzi Mkuu Bw. Peter Noni na Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo Profesa William Lyakurwa.
JK akisalimiana na maofisa wa TIB
Maofisa waandamizi wa TIB wakimpokea JK



Waziri Mkuu mstaafu Mh. Cleopa Msuya akimlaki JK
makuu ya TIB baada ya kuyazindua
JK akitoka tawi la TIB la Mlimani City baada ya kulizindua
Mkurugenzi Mtendaji wa TIB Bw. Peter Noni akisoma risala yake


William Lyakurwa akisoma risala
JK akipokea zawadi toka kwa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa TIB
JK akimpa zawadi Bw. Ibrahim Kaduma, mmoja wa wakurugenzi waanzilishi wa TIB. kulia ni Waziri Mkuu mstaafu Mh. Cleopa Msuya


NIVIZURI KUFUNGUA BENKI HAKIKISHENI WANAINCHI WANANUFAIKA..
ReplyDeletebig up to profesa Lyakurwa...alikuwa amepotelea huko Nairobi kabisa....these are key people can take the country extra mile in development agenda
ReplyDelete