Je wewe ulishawahi kusoma KASITA SEMINARY?
Kama jibu ni ndiyo, basi unakaribishwa katika mkutano wa wana Kalvari Sion Tabon (KASITA) unaotarajiwa kufanyika siku itakayotajwa hapo baadae.
Kwa mawasiliano na mwaliko tafadhali wasiliana na waandaaji wafuatao
Mr.Filbert Kiyenyeo - 0774 277775
Mr.James Mhala - 0786/0655 527592
Mr.Alfred Nkunga - 0785 277775
Upatapo ujumbe huu mjulishe na Mwana KASITA aliye karibu nawe.
Nyote Mnakaribishwa!
Kama jibu ni ndiyo, basi unakaribishwa katika mkutano wa wana Kalvari Sion Tabon (KASITA) unaotarajiwa kufanyika siku itakayotajwa hapo baadae.
Kwa mawasiliano na mwaliko tafadhali wasiliana na waandaaji wafuatao
Mr.Filbert Kiyenyeo - 0774 277775
Mr.James Mhala - 0786/0655 527592
Mr.Alfred Nkunga - 0785 277775
Upatapo ujumbe huu mjulishe na Mwana KASITA aliye karibu nawe.
Nyote Mnakaribishwa!
Aisee hongereni sana kwa wazo hilo,james mhala na Alfred mkunga kama nawakumbuka sana,na je kwa watu wa nje tutapate ajenda?mtanisaidia dondoo kupitia fchikungua@yahoo.com.
ReplyDeleteMzee Chikungua!
Nyie wanaKASITA, mbona wabaguzi? Mnaalikana wenyewe sio? Mmetusahau sisi wa Machipi (Ifakara Sekondary School)?
ReplyDeleteMlikuwa mkishinda pale Machipi (kama vile ni wanafunzi wa pale) huku mkidoea DADA ZETU!!! Acheni hizo tualikeni na sisi x-IFOZA
X-Ifakara Student