Naibu Waziri wa ujenzi Mh. Harrison Mwakyembe
na familia yake baada ya kuapishwa Ikulu jijini Dar
Waziri wa Nishati na Madini Mh. William Ngeleja
(wa pili kulia) akiwa na fanilia baada ya hafla ya kuapishwa

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwa na msjiri wa vyama Jaji

Wadau waliohudhuria sherehe hizo wakipiga picha ya pamoja
Makamu wa Rais Dk. Mohamed Ghalib Bilal
akimpongeza Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mh. Samuel Sitta
Waziri wa Maji Profesa Mark Mwandosya na
baadhi ya wanafamilia
Katibu Mkuu Kiongozi Mh. Philemon Luhanjo (kati)
akiwa na baadhi ya mawaziri wapya
Mawaziri baada ya kula kiapo
Waheshimiwa mawaziri baada ya kuapishwa
Waziri wa Ujenzi Dk. John Pombe Maghufuli, Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na teknolojia, Mh Charles Kitwanga 'Mawe Matatu' , Waziri wa nyumba na makazi Profesa Anna Tibaijuka na Waziri wa Uchukuzi Dk. Omar Nundu

Waziri wa nchi ofisi ya Rais – Mahusiano na Uratibu, Mh. Stephen Wassira akiwa na mwanae Kambarage wakati wa hafla hiyo

Naibu Waziri wa Habari, Vijana na Michezo Dk. Fenella Mukangara akiwa na familia

JK akipiga stori na wageni wake baada ya hafla ya kuapisha















Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Sasa tuache sherehe za kupongezana tuanze kazi.

    ReplyDelete
  2. Dk. Fenella Mukangara, I salute you mama. By FUSP Benerficiary

    ReplyDelete
  3. picha ya nne kati jamani michu kwani mi nimesemaje??

    ReplyDelete
  4. kwa kupeana na maua kwa mazuri gani ambayo yapo hiyo ni kazi haina dhamana wajibika kwanza ndio utunikiwe maua na wanainchi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...