MDAU WA MILIONI 10 KATIKA GLOBU YA JAMII ANUKIA NA MAMBO YAKIENDA SAWA INSHAALLAAAH KABLA MWAKA HAUJAAGA TUTAMJUA. JUHUDI ZA ZIADA ZINAFANYIKA KUTAFUTA SPONSA WA KUMPATIA MDAU HUYO WA MILIONI 10 KIFUTA MACHOZI. PIGA CHABO CHINI KULIA UONE TARAKIMU ZIMEFIKA NGAPI, NA KAMA SPONSA AKIPATIKANA UNAWEZA KUWA MBAHATIKA WA ZAWADI ITAYOTOLEWA.
-MICHUZI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Natakiwa kufanya nini mara ntakapoona mimi ndio mtembeleaji wa mil 10??Tafadhali naomba msaada

    ReplyDelete
  2. thats very nice uncle

    ReplyDelete
  3. mshindi anapatikana vp?? fafanua basi ankalii

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...