mkuu wa kitengo cha mupambana na madawa ya kulvya afande Godfrey Nzowa akielezea namna mtuhumiwa Kwaku Sarfo toka Ghana alivyokamatwa na kilo 13 za Heroine uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar Jumapili hii alfajiri

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. ona hivyo hivyo usiombe yakukute,jamaa ameshika kichwa kama anahuzunika sana na kumuomba Mungu wake na kuomba msamaha sana mbele za Mungu ila ndio ishatokea tena...jamani shida kitu kibaya sana.

    ReplyDelete
  2. Huyu mpopo fala sana, kama unataka kuingiza vyombo vingi kama hivi hapa dar inabidi uje na aidha demu au rafiki wa kizungu, na begi lako mwachie mzungu abebe au abuluze. Kwa ulaiii...ni litapita.

    ReplyDelete
  3. PAMBAFUUU WANAFIKIRI TANZANIA TUMELALA!!WEKA NDANI HIYO JAMAA HARAKA SANA.....

    ReplyDelete
  4. OOOOOOOOOOOOOH!!!!!!!!!!!!sasa watamrundika au ni aje?

    ReplyDelete
  5. Aadhibiwe vikali na ataje waliomtuma wa nje na ndani ya Tanzania, balaa mkubwa huyu anatuharibia watoto wetu.

    ReplyDelete
  6. Kudunduuu kudunduu, kudundu kudundu!!!! ALAJII ALAJIII ALAJIIII!!!!!!!!
    Ataicheza segerea hiyooo

    ReplyDelete
  7. wee anony wa pili ndio fala eti angepita na mzungu ndio angepita kiulaini. Aliyekwambia wazungu ndio miungu au malaika ni nani. Hata apite nani watu wote lazima search ipite. Mzungu si mtu wa kawaida na tena kama hufahamu wazungu wengi wa bongo wamejichokea tu. Pita na mzungu uone shughuli yake.......

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...