TAWI LA CHAMA CHA MAPINDUZI NAPOLI- ITALIA LINAPENDA KUWATANGAZIA WANACHAMA WA CCM NA WATANZANIA WOTE KUWA LEO TAREHE 6/11/2010 KUTAKUWA NA SHEREHE KUBWA MJINI NAPOLI YA KUSHANGILIA USHINDI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM KATIKA UCHAGUZI MKUU 2010, NA KWA KUCHAGULIWA TENA DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE KULIONGOZA TAIFA LETU.

SHEREHE ZITAANZA SAA KUMI JIONI.

WOTE MNAKARIBISHWA TUFURAHI KWA PAMOJA.

A.BENDERA

KATIBU SIASA NA NA UENEZI WA TAWI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...