Ash Alisoma hukumu ya mahakama kuu iliyotolewa na Jaji Mkuu katika kesi ya rufani iliyokuwa ikiwakabili watuhumiwa watatu na mmoja wao aliwataja vigogo wanaofadhili mauaji hayo, hata hivyo mahakama haikuwataja ila imeliagiza jeshi la Polisi kuwachunguza na kuwafikisha mahakamani.Ash alisema hukumu hiyo imethibitisha kuwa bado serikali haijafanya jitihada za kutosha za kupambana na mauaji hayo.
Ash Alisoma hukumu ya mahakama kuu iliyotolewa na Jaji Mkuu katika kesi ya rufani iliyokuwa ikiwakabili watuhumiwa watatu na mmoja wao aliwataja vigogo wanaofadhili mauaji hayo, hata hivyo mahakama haikuwataja ila imeliagiza jeshi la Polisi kuwachunguza na kuwafikisha mahakamani.Ash alisema hukumu hiyo imethibitisha kuwa bado serikali haijafanya jitihada za kutosha za kupambana na mauaji hayo.
Hongera kwa kazi nzuri Vicky... M'Enzi asidi kukulinda.
ReplyDeletePacha