Home
Unlabelled
vuvuzela oye!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Afrika Kusini imefanikiwa kuandaa mashindano ya soka ya dunia kama ilivyofanya, na kujiletea sifa kubwa, na pia kuiletea Afrika sifa. Lakini kitu kimoja pia ambacho kimetokea ni kusambaa kwa vuvuzela duniani na kuingia katika maisha na tamaduni mbali mbali. Niligusia suala hili hapa.
ReplyDeleteSoon Vuvuzela zitakataziwa hapa sauz kuingia nazo uwanjani sababu kaiza chief wamezifanya kama silaha baada ya kushindwa mechi kwahio sasa hivi wanangalia uwezekano wakuzuiliwa kuingia nazo uwanjani sijui kama itawezekana manake hawa jamaa vichaa na viongozi wa timu wenyewe wanasema hazina maana yeyote zaidi ya makelele yasio kuwa na mpango ndo sababu UK wamezi ban
ReplyDeletewakati mwingine ankal unavurugu! niulize swali hizo vuvuzela ni made in wapi? kama namna gani ankal tuanzishe kiwanda chetu inaelekea tutazichanga sana hasa tukijiandaa kwa uchaguzi ujao wa 2015 hapo unaonaje ankal?
ReplyDelete