Agosti 25, 2006: Marehemu Dk. Remmy Ongala (kati) akiwa na wanamuziki wakongwe wenzie enzi za uhai wake, Kikumbi Mwanza Mpango Kikii wa bendi ya Wazee Sugu (shoto) na Ismail Issa Michuzi wa Mwenge Jazz wakati wa kupokea mirahaba ya kazi zao kwa mara ya kwanza katika historia kwenye ofisi za Copyright Society of Tanzania (COSOTA) jijini Dar. Dk. Remmy aliyefariki majuzi anatarajiwa kuangwa asubuhi hii kwenye viwanja vya Biafra, Kinondoni, jijini Dar kabla ya maziko yaliyopangwa kufanyika makaburi ya Sinza Mwika makaburini .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. RIP Dr. Remmy, utakumbukwa daima. - Ben

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...