Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anne Sembamba Makinda akishuka kwenye gari lake kuelekea ofisi za Bunge mjini Dodoma.

SPIKA mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Semamba Makinda, (61) ambaye alichaguliwa hivi karibuni amefanikiwa kufanya mahojiano maalum na mtandao wa MO BLOG ya Jijini Dar es Salaam, na katika mahoajiano hayo aligusia vipengele vifuatavyo:

-Asema hataki kuondoka kwa shangwe za aibu

-Asisitiza muda wa miaka 40 Bungeni inatosha

-Aahidi kuhimili mikikimikiki ya wabunge vijana

Kupata mahojiano haya kwa kina bonyeza hapa:

http://www.mohammeddewji.com/blog/?cat=5

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...