
SPIKA mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Semamba Makinda, (61) ambaye alichaguliwa hivi karibuni amefanikiwa kufanya mahojiano maalum na mtandao wa MO BLOG ya Jijini Dar es Salaam, na katika mahoajiano hayo aligusia vipengele vifuatavyo:
-Asema hataki kuondoka kwa shangwe za aibu
-Asisitiza muda wa miaka 40 Bungeni inatosha
-Aahidi kuhimili mikikimikiki ya wabunge vijana
Kupata mahojiano haya kwa kina bonyeza hapa:
http://www.mohammeddewji.com/blog/?cat=5
-Asema hataki kuondoka kwa shangwe za aibu
-Asisitiza muda wa miaka 40 Bungeni inatosha
-Aahidi kuhimili mikikimikiki ya wabunge vijana
Kupata mahojiano haya kwa kina bonyeza hapa:
http://www.mohammeddewji.com/blog/?cat=5
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...