Hayati Mzee Kanukisya M. Mwaisango 1919-1993

Baba, ni miaka 17 tangu ulipotutoka tarehe 30.12.1993. Pengo uliloliacha katika familia yako ni kubwa mno na halizibiki!! Upendo na mafundisho yako daima tunayakumbuka.

Baba uliipenda familia yako na sisi wana familia tulikupenda lakini Mwenyezi MUNGU alikupenda zaidi kuliko sisi. Tunaamini kazi ya MUNGU haina makosa.

Baba unakumbukwa na wanao (Blackson K. Kanukisya na Lona K. Sekaga), akina mama Libagisye na Beham, dada zako, wapwa zako, wajukuu zako, wakwe zako, wadogo zako na familia nzima ya Mwaisango.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE!

Amen

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Pole mwalimu Blackson, RIP Mzee Kanukisya.

    Angel.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...