MDAU GODLISTEN MINJA NA MAI WAIFU WAKE PRISKILA MOLLEL WAKILA POZI BAADA YA KUMEREMETA MJINI MOSHI HIVI KARIBUNI

MAHARUSI NA WAZAZI WAO
MAHARUSI NA WAPAMBE WAO WAKILA POZI LA NGUVU
BW. HARUSI NA MPAMBE WAKE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Jamani nisaidieni hapa. Kwa nini wa Tanzania wengi huwa wananuna kwenye picha zao za harusi? Jamaa hapo juu na wazazi wamenuna hivi kama wamelazimishwa kuoana. Mimi nilifikiri unatakiwa uwe happy siku ya arusi. Smile paople!

    ReplyDelete
  2. wachaga bwana hatujifichi..check pozi la kiborloni hilo....LOL

    ReplyDelete
  3. kaka nimependa jina hilo MUNGU ANASIKIA.

    ReplyDelete
  4. Heheheh eti watu wananuna...Nakumbuka nikiwa mdogo nilikua nasikia...mwone yule kacheka kweli ...wanamwita mapepe, You couldn't wait to get married etc etc...Na wengine shangazi yuke pepembeni ukicheka tu unafinywa...ouch..yaani unatakiwa uact kama unahuzui kweli kuwaacha ndugu zako na ni kama hutaki kuolewa vile but you have to do - traditionally...

    Tradition nyingine kazi kweli...Usipoolewa kila siku lini utaolewa . Siku unaolewa hutakiwi kufurahia...

    ReplyDelete
  5. Hongereni saana mkaishi kwa upendooo mpendane kila siku sawa Godlisten? nyumba ndogo marufuku! bibie na wewe mtunze mzee kama mboni ya jicho lako ndoa ni bidhaa adimu!

    ReplyDelete
  6. DAH DOGO UMEKUA ASEE,HONGERA SANA!

    ReplyDelete
  7. Mtoa maoni hapo juu uliyesema wamenuna kwenye picha: Nisawa kabisa. harusi za kichagga huwa si isharanjema ni balaa. Utakuta huko wakwe, mawifi utachoka mwenyewe. Hata mume hutamfaidi maana anashikiliwa na nduguze kama papasi. Kweli lazima wanune.Kwanza wakwehukasirika kuona mtoto wao anaoa wanadhani atawanyang'anya chakula. wakwe kwa upande wa bi harusi wnasikitikia mtoto wao. Lakini utafanyaje hiyo kawaiada ilishajijenga. Wachagga tubadirike vinginevyo watoto watawakimbia na kuowa ukuryanikule mapanga shya shya. Wale ndio watawaweza

    ReplyDelete
  8. KAKA HONGERA UMEPENDEZA!!

    NKYA
    A-CITY

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...