Marehem Hassan Jumanne Makunja
(4-03-1964 amefariki 19-Dec-2010)

Marehem Hassan Jumanne Makunja ni mdogo wake Kamanda wa FFU Ugiabuni, Ras makunja.Late Hassan Makunja amefariki dunia uko Utete,Rufiji,mkoani Pwanisiku ya 19.December 2010 na kuzikwa 20.12.2010.

Marehem Hassan Makunja alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya vidonda vya tumbo,alikwenda mjini utete,Rufiji kwa mapuziko na kumtembela mama yake mzazi ndipo umauti ukamkuta.

Familia ya marehem inasikitika kuwajulisha jamaa na marafiki taarifa hii ya msiba wa Ndugu Hassan Jumanne Makunja kuwa hatunaye tena.
Rambi rambi wasiliana namba hii
0787532929 au 0718893419,
Bi.Ummy Makunja

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mwenyezi mungu amlaze mahala pema peponi.
    Amin

    ReplyDelete
  2. Poleni wafiwa...
    May Lord rest his soul in peace

    ReplyDelete
  3. hakika sisi ni wa mungu na kwake tutarejea. eeh mola (s.w) msamehe marehem na umulaze mahali pema aaamin.

    ReplyDelete
  4. Inna lillahi waina ilaihi rajiun

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...